PATO LA TAIFA LAONGEZEKA WA ASILIMIA 4.3

Pato la Taifa la uchumi wa Taifa kwa  mwezi April –Juni, limeongezeka kwa kiwango cha asilimia 4.3, ikiwa ni pointi za asilimia 0.3 zaidi ikilinganishwa na ilivyokuwa katika robo ya pili ya mwaka 2020. Hayo yamebainishwa leo jijini Dodoma na Kaimu Mkurugenzi wa takwimu za uchumi, Daniel Masolwa, wakati akitoa taarifa ya ukuaji wa uchumi